Skip to main content

NJIA KUMI USIZOZIJUA KUTENGENEZA PESA MTANDAONI

Jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni $ 10 kila siku


Watu wengi huwa hawahamini kama unaweza kutengeneza pesa online / mtandaoni. Kuna watu wanatengeza USD 2000 kwa mwezi ambayo kibongo bongo ni pesa ndefu. Kama wewe ni mtumiaji wa internet ni muda muafaka wa kupiga pesa mtandaoni. 

1. SURVEY 

Kumbuka utakapoulizwa je, una ndugu, jamaa au rafiki anayefanya kazi kwenye makampuni ya matangazo? Ukijibu ndiyo biashara imeishia hapo maana utakuwa haujaqualify. Unatakiwa ujibu Hapana. Hizi website ni za uhakika wa 100% hakuna longo longo. 

1. PREMISE

Huu ni mmoja ya site nzuri ya kupiga pesa kwa survey na pesa yako unaweza kudraw kwa njia ya Mpesa au Tigo pesa. Download Premise apkna install kwenye simu yako na kisha jaza detail zinazohitajika baada ya hapo utaanza kufanya tasks. Ikiomba Location fungua GPS kwenye simu yako

Hapo unaibonyeza hiyo task halafu itatokea neno reserve. Ukibonyeza kwenye reserve inakuwa yako kwa masaa 8. Nakushauri usi-reserve task kabla ya saa 12 alfajiri kwasababu utakataliwa.

2. GEOPOLL

Hii ni pia bonge la survey site ya kupiga pesa mtandao. Download Geopoll apk na install  kwenye simu yako kisha anza kutengeneza pesa

3. SPENN

Hii ukialika mtu unapata 2000 na unayemualika anapata 1000. Download Spenn apk na install  kwenye simu yako

4. MOBIWORKX

Hii ni pia bonge la survey site ya kupiga pesa mtandao. Download Mobiworkx apk na install kwenye simu yako kisha anza kutengeneza pesa

5. PILLOWBUX

Ingia kwenye website ya Pillowbux. Tengeneza account kisha anza kutengeneza pesa

Other

DENT APP 

Hii inatoa vocha za simu bure kama Vodacom, TCCL, na Halotel ukijiunga. Pia unaweza kutengeneza link ambayo kila mtu akiitumia hiyo link kudownload na akijiunga utapewa 1000 kwa kila atakayejiunga na app ya Dent. Download Dent apk na install kwenye simu yako ili upate vocha bure

2. BLOGGING

1. Jinsi ya kutengeneza blog  bila malipo yoyote hatua kwa hatua

2. Jinsi ya kuweka template kwenye blog yako. Japokuwa Blog zinakuwa na default Template lakini zinakuwa siyo nzuri kwa muonekano.

3. Jinsi ya kuweka free custom domain bure kwenye blog yako

Ili uweze kutengeneza pesa kupitia blogging lazima ujiunge na  Ads network company kama vile Google Adsense, Infolinks, Propeller na zingine

Unaweza kuweka matangazo ya kampuni mbili kama vile Adsense na Propeller kwenye blog yako. Ila ni vizuri ukatumia kampuni mmoja kama ni propeller au Adsense 

1. Adsense

Hawa wanalipa kwa traffic ya nchi yoyote ile ila sharti content zako ziwe za kiingereza. Jinsi ya kukubaliwa na Google Adsense kwa urahisi zaidi. Jiunge na Google adsense now. Jinsi ya kukubaliwa na Google Adsense kwa haraka zaidi

2. Propeller Ads

Hawa hawana masharti na huwa hawafungii blog au website yako na wanaruhusu lugha yoyote ile. Propeller ads unajiunga siku hiyo hiyo na unakubaliwa siku hiyo hiyo na haina masharti yoyote na haufungii. Kwa sasa Propeller wanakubali Blog zenye custom domain kama .com, .tk nk. Jinsi ya kupata free custom bure na kulink na blog yako

Jinsi ya kujiunga na Propeller Ads hatua kwa hatua. Tengeneza pesa na propeller Ads

3. Ad Now 
4. Adsterra 

Hizi zinasupport content za kiswahili

5. Kwanza 

Wanalipa kwa mfumo wa CPM

6. Pinpoint Africa

Wanalipa kwa mfumo wa CPM na CPC

7. Seebait

Kujiunga ni rahisi sana na wanalipa kwa mfumo wa CPM na hawangalii idadi ya Views. Wanatumia code kama za 
Adsense ila zao zipo kwenye mfumo wa javascript

8. News 

Kujiunga ni rahisi sana na wanalipa kwa mfumo wa CPM

Pia kwenye Blog au website yako unaweza kuingia makubaliano na makampuni kama vile Vodacom, Tigo, Cocacola n.k ili kuonesha matangazo yao na wanakulipa hata mtu binafsi pia anaweza kutangaza biashara yake kupitia blog au website yako.

3. YOUTUBE

Jinsi ya kutengeneza Youtube account na kupata pesa kupitia Youtube channel

4. FREELANCING

Hizi ni site ambayo hutumika mtu kuuza ujuzi (Kufanya kazi za watu mbali mbali mtandaoni) kulingana na uhitaji na ubobezi wako. Mtu anaweza kutafuta translater, lawyer, Dr, Technician n.k 

Website za Freelancing ni

UpWork.com
Freelance.com
Fiverr.com

5. AFFILIATE MARKETING

Hii ni site ambayo hutumika kupromote bidhaa za watu. Wewe unawashawishi watu wanunue bidhaa kwahiyo wakishanunua unapewa commission kwa kila bidhaa itakayonunulia.

Jiunge na Click bank ili uweze kutengeneza pesa kupitia affiliate marketing

6. ARTICLE WRITING

Hapa utaweza kuandikia watu makala (Articles) kwenye blog au website zao kulingana na keyword zinatumika sana kwenye Google search engine (SEO). Kuna watu wengi sana wanahitaji kuandikiwa ila hawajui waanzie wapi.
Njia nzuri ya kujitangaza ni kwenye mitandao ya kijamii kama Facebok, Quora, Twitter, Jamii Forum n.k

Important notice

Kumbuka msingi wa kupata fedha kupitia bloging ni traffic yaani watembeleaji hivyo kabla ya kuhangaika na kupata Ads Company gani inafaa hakikisha unayo traffic ya kutosha kupitia mitandao ya kijamii au SEO,  na iwe pure traffic. Unaweza kushare blog yako kupata watembeleaji kwenye mitandao ya kijamii. Usijaribu kujiunga na scam online kupitia kitu kinaitwa uwekezaji mtandaoni yaani kununua watembeleaji au kufanya janja yoyote maana, utafungiwa. To make money online inabidi utulize akili na utambue nini unatakiwa kufanya. Usikurupuke, fikiria unataka ufanye nini, je, unataka uandike kuhusu masuala ya habari, Health, ajira, technology, Music, movies au kuuza na kununua vitu online? shughulika na kitu kimoja itakusaidia kuandika makala nyingi ila ukichanganya mambo utajikuta umeshindwa cha kuandika.

Kupiga pesa online ni jambo rahisi sana kama utaiset akili yako kwenye ubunifu katika kuandika makala, kutafuta traffic (watembeleaji) na kuangalia ni kampuni gani ni nzuri kwa matangazo na inayolipa. Usiandike kwa kufuata mkumbo. Tuliza akili na egemea kwenye jambo moja kama utajishughulisha na afya, ajira, technology, n.k

Utapata pesa yako kupitia Payoneer, Paypal na Western Union Bank si lazima uwe na bank account ili uweze kupewa pesa yako.


Comments

Popular posts from this blog

How to notice if your phone has been hacked

When your phone is hacked, there must be some unusual data access pattern for you to notice. Following are some of the signs that your device is hacked ∎ Check list of applications in your device, if you see applications which gets installed without your approval. ∎ Check battery usage, if it is infected by malware, it will poll for multiple service and will increase the energy consumption. ∎ Check the outbox and see if your device is sending SMS without your approval. ∎ Install the packet sniffer in your Wi-Fi network and disable 3G/4G mobile data access and carry out deep inspection of the packets. See what all information is being sent out from your device. ∎ Check out the data usage and compare it with the historical record, if your phone is hacked, you will see some extra charges, primarily due to data access and service consumption. ∎ Is your devices rooted by installing some app ? if Yes then your mobile device can carryout attacks and receive instruction...

HOW YOU CAN USE INTERNATIONAL PHONE NUMBER WHILE YOU ARE IN TANZANIA

persuar.blogspot.com This is how am gonna show you how to use abroad phone contact into your WhatsApp Requirement In doing so you are require to download one of the following Applications into your phone. TextPlus , T extnow , 2ndline , Nextplus HOW TO USE US contact into your contact 1. Download  TextPlus App  and  install it into your phone. 2. Then, open up an APP and click SIGN UP  Button. 3. After there you will need to add your email and passcode,then press continue 4. Then, Select your State and choose Wisconsin then click Select your area code, which is  608 then Get a Customer Number. From there you will have a Contact   HOW YOU GONNA USE SUCH CONTACT INTO YOUR WHATSAPP 1. Download  WhatsApp  and install into your phone if you have a WhatsApp it fine just continue by open your WhatsApp the follow all process of adding your contact, if you have already do so go to Wha...

JINSI YA KUWEKA MAANDISHI MDOGO ‘subtitle’ CHINI YA VIDEO AU FILAMU

Jinsi ya kuweka subtitle kwenye Movie au Series yoyote Kuna wakati unataka kuangalia movie au series ila ugumu unakuja kwenye lugha wanayotumia huenda wanatumia lugha ya kihindi, kichina, kikorea au lugha yoyote ile usiyoielewa. Sasa hapo inakuja ugumu wa kutafuta Subtitle na kuiweka kwenye movie yako.  Fuata hatua hizi kuweka Subtitle kwenye Movie au Series yako. Hakikisha una kifurushi cha internet angalau cha 100mb. Njia nzuri na rahisi ni ya kutumia VLC Media Player na ALLplayer. You may also like  Download Movie, Animation na Series nzuri wakati wote  SIMU Njia ya kwanza VLC Media player 1. Download  VLC apk  and install kwenye simu yako 2. Open movie au series unayoitaka 3. Tap kwenye Screen utaona ki-icon kama cha kutuma meseji, bonyeza hapo kisha tap on download subtitle. Hakikisha simu yako imeungwanisha na internet. Baada ya sekunde kadhaa utaona Subtitle inaonekana kwenye movie au series yako Njia ya pili Websites 1. I...